Blessings! Here’s the mosque that Diamond has almost finished building 

Tanzanian singer Diamond Platnumz came from nothing to the top artists he is today. The singer has laways made sure he’s giving back as much as possible.

Courtesy of Harmonize, an artist Diamond also introduced to the industry, word has emerged that singer is building a mosque in his home town Mtwara.

Blessing others

Harmonize on Sunday took Instagram to share the photos and video of the mosque saying that Diamond has entrusted him to oversee the project that is almost complete.

#MasjidNaseeb Sio jambo rahisi sana….!!! Kwa watu wenye mafanikio hapa duniani kumkumbuka M/mungu na kujiwekea amali njema mbele za #Allah..!! M/mungu akubariki na akuongezee kila panapokucha….!!! hii inanifunza na kunifanya niamini kuwa ndiomana kila kukicha unazidi kufanikiwa kutokana na Dua njema za watu wengi…..!! Pamoja na baraka za #Allah waislam washaanza kusali katika huu msikiti ulioujenga hapa Mtwara….!!! haukutoa kwasababu unakingi naamini kuna wenye kingi zaidi ila ulifanya hivi kwakuamini katika imani na kujua kuna watu wana uhitaji katika njia za Allah lakini pia ni Amali njema mbele za Allah na umekuwa ukinisistiza sana….!! Kuusimamia mpaka sasa tunafikia hatua za mwisho kabisa….!!! Inshaallah M/mungu peke ndio mwenye uwezo wakukulipa katika hili….!!! Naseeb Abdul Juma mtoto wa Binti Sandra @diamondplatnumz & @mama_dangote,” said Harmonize.

Here’s the video:

https://www.instagram.com/p/Bkrm8gWASa9/?tagged=masjidnaseeb

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua