Bongo singer and former TPF contestant Nakaaya Sumari opens up about quitting music and permanently relocating to Nairobi

Nakaaya Abraham Sumari has been living a quiet life in Nairobi as her fans wondered where she disappeared to. Apparently Nakaaya quit music altogether.

For starters, Nakaaya shot to fame in East Africa when she featured in the first season of Tusker Project Fame (TPF) in 2006. Nakaaya was however a big shot in Bongo as she was Miss Tanzania 2005.

After TPF, Nakaaya returned to Tanzania to record her first album. Her song ‘Mr Politician’ went on to become a big hit but she didn’t quite succeed as a musician.

Now a businesswoman
Nakaaya Abraham Sumari
Nakaaya Abraham Sumari

In a recent interview with Over Ze Wikiend, Nakaaya reveals that she decided to quit music altogether. The former beauty queen also says she has permanently relocated to Nairobi where she runs her business.

Over Ze Wikiend: Kimya sana kwenye muziki Nakaaya, nini kinaendelea?

Nakaaya: Kiukweli kwa sasa nimeacha muziki.

Over Ze Wikiend: Kwa nini umeamua kupiga chini muziki, mashabiki bado wanapenda kukusikia.

Nakaaya: Ni kweli, lakini kwa sasa nina mambo mengi ya kufanya. Nina kampuni yangu ambayo inahusika na mambo mengi ikiwemo chakula, ndiyo nadili nayo kwa sasa.

Over Ze Wikiend: Kuna kipindi ulihamia Nairobi, Kenya, kwa sasa umerudi kuishi tena Tanzania. Nakaaya: Maisha yangu ni Kenya zaidi. Arusha Tanzania ni nyumbani, kwa hiyo ni lazima nirudi nyumbani.

Over Ze Wikiend: Sababu hasa ni ipi ya kuhamishia makazi yako Nairobi?

Nakaaya: Unajua Arusha ni mji mdogo. Kiukweli nina mambo makubwa ya kufanya kwa hiyo naona ni sehemu ndogo ya kuishi, ndiyo maana nikalazimika kutafuta sehemu kubwa. Lakini pia kumbuka nimekulia Nairobi.

Over Ze Wikiend: Unasikiliza muziki bila shaka, nani anakuvutia zaidi?

Nakaaya: Ninasapoti wanamuziki wote. Kiukweli wanafanya vizuri na muziki unakua na unakwenda mbali.

Over Ze Wikiend: Kipi kinakukera kwenye muziki?

Nakaaya: Hakuna.

Over Ze Wikiend: Vipi kuhusu familia?

Nakaaya: Nina mtoto anaitwa Kay, basi!

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere