Diamond finally reveals the truth about impregnating Hamisa Mobeto and his recent fight with Zari

Popular Tanzanian video vixen Hamisa Mobeto who featured in Diamond’s hit song ‘Salome’, is heavily pregnant. And guess who is the father?

Hamisa Mobeto has long been rumored to be Diamond Platnumz’s concubine. And when it was discovered that she had been knocked up, guess who was the first person everyone suspected to be responsible? Of course Diamond.

Hamisa Mobeto and Diamond

The Tanzanian superstar revealed the truth about Mobeto’s pregnancy during an interview on Cloud FM yesterday June 21st. Diamond refuted claims he was the father of Mobeto’s unborn child, he explained that he had to distance himself from the video vixen ever since people started creating stories about the lass and him.

“Hizo zote ni za uongo, mama T pia anajua ni story ya uongo. Naskia kwamba ni mjamzito, sasa mjamzito pia watu wameunganisha hio story ikawa ni mimba yangu. Story zinazungumzwa mimi siwezi kufanya kitu chochote,” Diamond said.

The singer also opened up about his fight with Zari over the controversial swim spa photo which sparked separation rumors. Diamond caused a stir when he complained on Instagram after his wife was seen in a pool with Edwin Lutaaya who turned out to be Ivan Ssemwanga’s cousin.

In the interview with Clouds FM, Diamond explained that he found it hard to believe Zari wasn’t cheating on him with Edwin Lutaaya, but when his wife showed him other photos (which showed Lutaaya’s wife was also in the spa) he decided to delete the photo he posted on IG.

“Nlikua nimekusudia, unajua…upande mwingine mimi ni binadamu kama binadamu wa kawaida mimi pia nakua naskia uchungu na maumivu. Na katika mahusiano yangu yote nshakuwa nayo basi mahusiano ya Zari nimejitahidi kujitoa sana kwa kila hali na mali. So nlikutana na ile picha kwenye mtandao sikuelewa…mi kwanza nkajua ime editiwa. Ehh nkampigia simu nikamwambia “mbona kuna picha nimeiona hivi na hivi”. Akaniambia “bwana huyo ni shemeji wangu, hapo pia tulikua na wife wake lakini kutokana na kwasiko kwa maji inaonekana kama kanikumbatia lakini haikua hivyo”. Mi nikapanic nkaona kama huyu mchongo tu yani ni kama anajifanya, anajitetea. Nkamwambia “kwa hio mbona hujaiposti kwenye account yako imetokea kwa watu wengine tu, imekuaje?”. Nkamwambia “ulikua unataka boost, unataka kiki (controversy) au vipi kwasababu mimi ntakupa kiki ntakupost kabisa ili isambazike mtu aone dunia, si unataka kila mtu aone?” Kwa hivo nkaposti, kwa hivyo baada ya kuposti alikua ofisini akarudi haraka amekuja amepagawa ndo kaja na zile picha “ si unaona nlikua na huyu wife wake na nini na nini…na huyu wife wake ndo alinipiga picha kwa hivyo na hivi na hivi…. Baada ya kunionyesha ndo nkatoa ,” Diamond explained.

Watch the full interview in the video below:

https://www.youtube.com/watch?v=xnxcRkq6_34

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere