Diamond Platnumz set to host the biggest party of the year as Tiffah and Nillan Dangote arrive home!

Word making rounds in Bongo is that Diamond Platnumz and his family are planning to welcome his two kids with the biggest party ever seen!

Apparently after talking to Zari Hassan, the two parents have agreed on how they will be co parenting their kids without any issues. So far they have been communicating and after staying away from them for 2 years; Diamond will soon be uniting with his little humans!

Sasa hivi wapo kwenye hatua nzuri sana tofauti na ile ya zamani. Mondi anazungumza na Zari, anawapa watoto simu mara kwa mara na kubwa ndiyo hilo, atawaleta Bongo soon mara tu baada ya janga la Corona kupita.

This was revealed by a source close to Diamond Platnumz and his family. The informer revealed that Mama Dangote is quite excited to finally see Tiffah and Nillan after so long!

Tiffah and Nillan

Wewe si unajua Mondi tena matashtiti yake, watoto hawa hajawaona live muda mrefu; yaani itakuwa furaha na sherehe kubwa sana siku hiyo.Vyombo vyake vya habari (Wasafi Media) vitarusha tukio hilo, lakini kama hiyo haitoshi; bado media nyingine zitarusha tukio hilo ambalo lina maana kubwa kwa Mondi ambaye amewamisi na kutuhumiwa kuwatelekeza watoto wake, hivyo itakuwa ni bonge la sherehe.

Coronavirus

According to the source, the only thing standing in between Diamond and his kids is Coronavirus which no one knows when it will disappear.

However the kids are ready to reunite with their dad in Tanzania. The source went on to add saying;

Ex-lovers Diamond and Zari Hassan

Mungu tu asaidie maana walipanga iwe baada ya Ramadhani na kama unavyojua Ramadhani inaisha wiki ijayo, hivyo itabaki kizuizi tu cha Corona na mambo yakiwa safi, basi watoto wanakuja.

Since the event will be live, fans can’t wait to see the chemistry between Zari and Diamond Platnumz as they meet face to face; 2 years after their major break up!

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua