Diamond Platnumz takes a swipe at Harmonize while giving humbling speech about Rayvanny

Image: Tanzanian artistes, (from left) Rayvanny, Harmonize and Diamond Platnumz, previously

Rayvanny has a new music label dubbed Next Level Music; which he launched in a ceremonious event that went down inside his compound in Mbezi beach.

Among those in attendance was WCB boss Diamond Platnumz, manager Salaam SK; and other officials who turned out – to show their support for the young man doing great things in the music industry.

However, what caught many people’s attention is the speech Diamond Platnumz gave during the event. Unlike what many expected – the WCB boss was not bitter about Vanny’s new business as he congratulated the singer for the new move. Simba said;

Rayvanny and Diamond Platnumz

“Kuna wasanii wanaamini eti ili ufanikiwa lazima utengeneze ugomvi na msanii fulani au na mtu fulani zama hizo zishapitwa na wakati. @rayvanny kwa maisha na pesa alizokuwa nazo angekuwa na zarau sana lakini hana na anaheshimu kila mtu. Unaweza ukashamgaa msanii anasaini msanii mwingine kwenye lebo yake halafu aliyesainiwa anaimba vizuri kuliko boss wake na hata amempa kuimba.

Rayvanny’s new assets

In the same speech, Diamond gave an example of the new sleek ride Rayvanny recently bought; and unlike other artists he did not see the need to flaunt it until Baba Levo shared the information online.

@rayvanny hana makuu juzi amenunua Prado mpya hakuna mtu anayejua mpaka @officialbabalevo alipoanza kuongea ndio watu wakajua kuwa amenunua gari mpya. Mapato ya @rayvanny ni makubwa sana hivyo anastahili vyote hivi, acheni kuaminishwa kuwa eti ili ufanikiwa lazima ugombane na mtu fulani.

Offers to support

Well, apart from confirming that this is not the end of Rayvanny at WCB; Diamond offered to support the ‘new level label’ as a token of gratitude for the respect Vanny boy has always had for WCB.

Vanny boy and WCB boss, Diamond Platnumz

Ntahakikisha hii lebo inafika mbali sana maana isipofanikiwa @rayvanny hatutokanwa pekee yake bali tutatukanwa sote tuliopo hapa mbele na suti zetu.

Video credits; Bongo 5

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua