Diamond’s special message to Magufuli after Tanzania bought a plane

Singer Diamond Platnumz is currently in the US for tour but is still monitoring everything happening at home. The Tanzanian singer is on his “A Boy From Tandale” album tour but took time to send a special message back home after Tanzanian acquired their first state owned jet.

Thank you

Taking to social media, Diamond sent a message to President John Pombe Magufuli for the big move saying that travelers have been getting a hard time while jetting out the country.

Here’s what he said:

“Super Proud of my President and My Government….Binafsi ilikuwa inaniumiza sana kuona nchi yetu inakosa kuwa na Shirika lake lenyewe la Ndege… Walau Leo hii nasi tumepata cha kujivunia mbele za watu, na naamini huu ni mwanzo tu Mengi yako njiani….Wasiopenda kufanya kazi na Kulipa Kodi ndio watalalamikia Uongozi wako maana wanataka vya Ubwete, au Maisha ya Mkato.. ila mie binafsi nafurahishwa na Uongozi wako maana sio Mtu wa Ahadi, Ni Mtu wa Vitendo, yaani Unalolisema Unatekeleza haswa….Na nchi Haiwezi Kujengwa Bila Kuwa na Pesa, na Naamini moja ya njia kuu ya Nchi Kuingiza pesa ni kupitia Kodi” wrote Diamond.

He added:

Na Naamini pengine WaTanzania wengi mwanzo walikuwa wavivu wa kulipa kodi maana walikuwa wanaona Kodi zinalipwa ila vitu vinacheleweshwa kufanyika nchini, halaf wanaishia kutambiwa na kuletewa Dharau na Watoto wa Viongozi Mtaani…ila kwa Speed Hii Mpya naamini kila Mtanzania atakuwa na Moyo na Furaha ya kulipa kodi kwasababu Sasahivi spidi ya Utekelezaji imeongezeka, na kila mtu anaona waziwazi na Watoto wa Viongozi skuizi Tunaheshimiana, No Kunyanyasana!!!! Wakinyanyasa mtu ama kuleta dharau za vitambo kujifanya wanachezea ela, Wazazi wao fasta Wanatumbuliwa…..Na hii ndio Tanzania tunayoililia siku zote, Yaani Tanzania ya Kwetu Sote….. Shukran sana Mr President Chama na Serikali nzima kwa ujumla, shukran pia hata Vyama pinzani kwani naamini changamoto zenu ni Mchango pia kwa Serikali Kuzidi fanya Kazi Bora…” added Diamond Platnumz

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua