Drama as Diamond’s father and Ommy Dimpoz’s father savagely tear into each other

Diamond’s father Abdul Juma and Ommy Dimpoz’s father Faraji Nyembo have openly castigated each a year after their sons started beefing.

Last year Diamond and Ommy Dimpoz took shots at each other. Dimpoz even wrote an open letter to Diamond’s mom insinuating that he had a thing with her.

Also read: Shots fired! Ommy Dimpoz open letter to Diamond Platnumz mum causes a stir online

Ommy Dimpoz’s father has now clashed with Diamond’s father after he called him out for openly criticizing his son (Diamond) on the media claiming that he does not help him.

“Unajua mimi ni mzazi wa tofauti sana, siwezi kumlalamikia au kumsemea mabaya mwanangu kwenye vyombo vya habari kama anavyofanya baba Diamond, ninachofanya huwa namuombea mwanangu awe na maisha mazuri maana nikimuombea mabaya anaweza kupoteza dira ya maisha yake nitakuwa nimefaidika na nini. Nilimuona baba Diamond akizungumza kwenye kipindi kimoja cha runinga akimlaumu mwanaye huyo na kumlalamikia kwamba hamsaidii nikamshangaa sana kwa kweli maana siyo tabia nzuri,” Ommy Dimpoz’s father said during an interview with Risasi Mchanganyiko.

Dimpoz’s father called on Diamond’s father to emulate him, saying that he would never criticize his son on media the way he was doing to Diamond.

Ommy Dimpoz's father Faraji Nyembo (in red t-shirt)
Ommy Dimpoz’s father Faraji Nyembo (in red t-shirt)

“Namshauri baba Diamond awe anamuombea mwanaye mafanikio, aungane naye wawe kitu kimoja, afurahie mafanikio yake ipo siku Mungu atamrudisha kwake amsaidie na siyo kumzungumzia maneno ya kumlaani na kumlalamikia kila siku.

“Aige mfano wangu maana mimi huwa simlazimishi mtoto anisaidie bali huwa napambana na hali yangu kwa kufanya kazi kwa bidii na ninampenda sana mwanangu Dimpoz na siwezi kumlaani au kumlaumu maana jina nililompa la Omary ni la baba yangu inakuwaje sasa nimlaani ni sawa na kumlaani baba yangu.”

He should shut up

Risasi Mchanganyiko also reached out to Diamond father for comment about what Ommy Dimpoz’s father said. Mzee Abdul was totally offended by the comment, he said Dimpoz’s father shouldn’t poke his nose into what doesn’t concern him.

Diamond's father Abdul Juma
Diamond’s father Abdul Juma

“Sitaki shobo, huyo baba Dimpoz simfahamu kama hana la kuongea anyamaze, amzungumzie mwanaye hata kama niliongea kuhusu Diamond si mtoto wangu yeye inamuhusu nini? Kuhusu huyo Diamond sihitaji kuzungumza chochote kuhusu yeye wala watoto wangu maana hawana faida yoyote kwangu kwa sasa,” Diamond’s father said.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere