Embarambamba Explains Viral Video Of Him Misbehaving In A Club (Video)

Gospel singer Embrambamba has been exposed in a viral video of him groping a woman in a club while performing. The Kisii-based gospel artist has now come out to explain to his fans about the viral video that saw him be at loggerheads with KFCB boss Ezekiel Mutua; who wrote on twitter to warn him.

Embrambamba’s Explanation;

The gospel artist has now come out to explain himself about the viral video that saw even his fans get angry at him; for acting contrary to his words in his gospel music.

He explained the video on his YouTube channel saying;

”Hii video inazunguka kwa mtandao nilikuwa sherehe apo karibu na Thika road. Wakenya wamenihukumu, wakenya wamenitusi. Ma fans wangu wamekasirika. Lakini kitu nataka mgundue wakenya, hii video kabla huja comment; angalia the statement of the song. Song inasema umetoa hii ujinga ya kufanya  fanya video upuzi wapi? Umesahau Mungu kwa msalaba. Umetoa hii ujinga ya kuangalia na kufanya vitu za ujinga… Yesu alikuja kwa hii dunia kwa wale watu walikuwa wabaya. Wachawi, wezi. Hakukuja kwa wazuri pekee yake.

Ndio maana Yesu wakati alikuwa kwa hii dunia alikaa na washerati. Kwa nini? Waokoke wamjue Mungu. Huezi kusema Embrambamba usiende kwa klabu ama usiende kwa mkutano wa siasa na hiyo ni vitu ya dunia. Wote tuko kwa hii dunia. Na Mungu alituweka kwa hii dunia. Tukubali tumfuate… Tukubali na kutii… God bless Kenya…”

Below is Embarambamba’s viral video while he was performing;

https://www.youtube.com/watch?v=mEw-TcH-hFk

 

 

About this writer:

Dennis Elnino

Content Developer Email: [email protected]