Girl child hapa ameshinda! Fly songstress Nandy gifts parents lovely house as New Year present(photos)

Tanzanian singer Nandy is now a renowned name in Kenya after the singer collaborated with controversial gospel singer Willy Paul.

Rumours of the two dating hit social media after they released the song but they have maintained that there’s nothing between them.

Nandy started 2019 with a wow moment after taking to social media to post a house she has just built her parents.

We all know how celebs like to flaunt their flamboyant lifestyle on social media while their parents wallow in poverty back at the village.

Small gift

Nandy took to social media to thank God for the blessings after presenting the house to her parents.

“Mungu wangu na Baba yangu najua nakukosea sana kama binadamu na kama kijana ila nikipiga goti unajua namaanisha kutoka moyoni mwangu na unajua hakuna ninaye mtegemea zaidi yako… Asante kwakunipa uvumilivu, unyenyekevu, katika maisha yangu hasa kipindi hiki cha mwaka 2018!!” she posted on Instagram. 

Nandy also thanked everyone who helped her enjoy a superb 2018 that saw her career grow in leaps and bounds.

https://www.instagram.com/p/BsDD6ueh8VI/

“Asante kwa hii zawadi ndogo ya wazazi wangu najua hii ni ndoto ya kila kijana mwenye kutafuta!!! Ni kila ndoto ya mwanadamu yoyote duniani kuona wazazi wake wako na furaha na ndiyo baraka zenyewe . Nashukuru media zote , blogs zote, ma producers wote, ma promoters wote, familia yangu ya THT, familia yangu ya clouds ,management yangu, Team yangu, marafiki zangu, Baba yangu wa kiroho Mtumishi MWAMPOSA , na mafans wangu wote ,bila kusahau na hatters wote kwa kunipa nguvuu na supports kwa namna moja au nyingine uwepo wenu ndio mafanikio yangu……..
Nili jipa nguvu kabla sijapewa 
Nilijipa moyo kabla sijapewa
Nilijiamini kabla yakuaminika 
Nilijikubali kabla yakukubalika
Popote ulipo kijana mwenye ndoto yoyote ile jua inawezekana ukiweka nia ukikubali mazuri na mabaya yote yakufikie sababu ni daraja na nguzo ya mafanikio yako bila kusahau MUNGU ndio kila kitu. Nawapenda
HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE ?
#DADAMWENYENYUMBA

https://www.instagram.com/p/BsDDi1fh5VG/

 

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua