K24 news anchor Ahmed Bhalo bereaved 

K24 news anchor Ahmad Juma Bhalo has revealed that he has lost his father.

In a sad post on social media, the news anchor shared that he lost his dad, who is called Ahmad Juma Bhalo, after a long illness. Bhalo was laid to rest at Wakilindini area in Ganjoni, Mombasa.

Read his prayer below:

“Nasikitika kutangaza kifo cha ami yangu, babangu na somo yangu (yeye ndiye aliyenipa jina Ahmad), Ustadh Ahmad Nassir Juma Bhalo maarufu Malenga wa Mvita kilichotokea mapema leo mtaani Kuze, Mombasa. Ustadh Juma Bhalo aliaga dunia baada ya kuugua maradhi ya mapafu kwa muda. Atakumbukwa na wapenzi wa lugha teule ya Kiswahili kutokana na mchango wake kupitia tasnia ya utunzi wa mashairi uliyompelekea kutwikwa vyeo vya Ustadh na Malenga. Mwendazake ataswaliwa kesho (Alhamisi) msikiti TSS Ganjoni baada ya swala ya alasiri na kuzikwa katika maziara ya Wakilindini eneo la Ganjoni, Mombasa. Allah amuweke pahali pema peponi. Ameen,” read the emotional post.

 

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua