“Mara nyingi nlikua namfuatilia” Rayvanny admits stalking his sweetheart Fahyma 

Rayvanny has come out to narrate how he met his baby mama Fahyma. The Bongo singer admits that he used to stalk his sweetheart before he finally managed seduce her and ended up being in a relationship with her.

“Nakumbuka nilikutana na kipenzi changu sehemu moja hivi maeneo ya Kinondoni, alikuwa anapenda kwenda kupata juisi pale. Mara nyingi alikuwa akienda, ikabidi nianze kumfuatilia kwa kuwa mimi nilipenda kuishi naye na kujenga familia,” said Rayvanny during an interview with Global Publishers.

The ‘Pochi Nene’ singer says he used to frequent a juice joint just to see Fahyma. He eventually gained the courage to approach her and they exchanged contacts.

“Nikawa nakwenda pale ili niweze angalau kuongea naye. Siku moja alikuja kama kawaida yake, ikabidi nimfuate ili niweze kumuomba namba ya simu na hivi nilikuwa natambulika tayari, alishangaa sana. Mawasiliano yaliendelea hatimaye tukajenga mazoea. Nikaamua kumueleza ukweli wangu, haikuwa rahisi kwa sababu si unajua mtoto wa kike hawezi kuamini mara moja kama kweli unampenda kwa dhati, ilichukua muda kidogo kukubaliana na mimi.”

Rayvanny
Rayvanny
Religion

Rayvanny says it took time for him to convince Fahyma to move in with him. They however faced several challenges, Fahyma was forced to convert to Christianity because Ray is not a Muslim. The two lovebirds broke up at one point before they reconciled.

“Baada ya muda alikubali tukaanza maisha, japokuwa kulikuwa na changamoto nyingi na kuna kipindi tulizushiwa kuwa hatupo pamoja lakini kama Mungu ameamua kupanga muwe pamoja, hakuna anayezuia. Tumebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume Jayden na tulijaliwa kwenda kumbatiza nyumbani kwetu Mbeya na Fayma aliingia kanisani kwa ajili hiyo.

“Nilikwenda kumtambulisha nyumbani na wazazi wakaridhia, mpaka sasa tupo pamoja na ninampenda sana na naomba Mwenyezi Mungu atujaalie, tuendelee kuishi kwa amani na upendo wa dhati asisikilize maneno ya watu,” Rayvanny narrated.

Baby number two
Rayvanny with his sweetheart Fahyma and their son Jaydan
Rayvanny with his sweetheart Fahyma and their son Jaydan

Rayvanny and his sweetheart are expecting their second child together. Fahyma recently announced that she was two months pregnant.

Also read: Blessings galore! Rayvanny and Fahyma expecting baby number two (Photos)

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere