“Naweza kunyonyesha nkizaa” Vera Sidika explains things her breasts can do after spending Kes 3 million on breast enlargement surgery 

About two years ago, Vera Sidika went under the knife to enlarge her breasts. The socialite underwent breast augmentation surgery in California, USA.

Breast augmentation, sometimes referred to as a “boob job” by patients, involves using breast implants or fat transfer to increase the size of your breasts. [sic]

Speaking during an interview with Tanzania’s Kwanza TV, Vera revealed that she spent $30,000 or Kes 3 million for the breast surgery.

“Procedure ambayo mi nliofanya inaitwa breast augmentation. Wanaweka silicon implants kwenye pockets, kwa maziwa ya mtu kuna breast pockets fulani yani ambazo hakuna kitu, ni kama shimo haina kazi yoyote kwenye maziwa yako. Kwa hivyo hio implant inakuja inaingizwa humo ndani alafu inafurisha maziwa inasimama vizuri,” Vera Sidika explained.

Just like normal boobs

Vera also revealed that the surgery was a success and that she could do anything just like a woman with normal natural boobs.

“Procedure ambayo nlifanya mimi haina size effects kabisa. Naweza nkanyonyesha nkipata mtoto, hai interfere kabisa na mammary glands. It’s the safest,” said Vera.

Adding that;

“Ukifanyiwa surgery kama hio unaskia uzito fulani. Nlipotoka kwenye theater nlikua naskia uzito fulani kama nataka kumwagika. Unafeel like your chest is very heavy. But sahi nafeel ni kama sina chochote mbaka saa zingine nafeel ziko ama zilipotea. Mwanzo nilipofanya surgery ya my breast implants kuna vitu fulani zingeweza fanya. Unatakiwa ulale ukiwa unaface juu, you can’t sleep on them maanake ziko very tender na kuna discomfort fulani. You can’t travel until two weeks after surgery. Lakini sahi nayalalia, naingia kwenye sauna, naweza fanya anything. Naweza enda kwa skydiving anything.”

https://youtu.be/DV9fiKsy1x4?t=753

 

 

 

 

3,022,852

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere