“Nilisimamishwa kazi tangu mwezi wa pili mwaka huu” Diamond’s bodyguard comes clean about being sacked

Diamond Platnumz’s bodyguard Mwarabu Fighter was involved in an accident on June 22nd 2018. It was only after the accident that rumors about his fate at WCB started flying.

Rumor had it that Wasafi had neglected Mwarabu Fighter ever since he was involved in the accident. The bodyguard however confirmed he hadn’t heard a word from Wasafi.

“Labda linaweza kuwa neno kali sana kusema nimetelekezwa, lakini ukweli ni kwamba sijapata huduma zozote kutoka kwa Diamond au WCB, pengine wanajipanga kunisaidia siwezi kujua. Kwa sasa nahangaikia afya yangu mwenyewe; nashukuru naendelea vizuri nina imani nitapona Mwarabu Fighter told Ijumaa Wikienda.

Mwarabu Fighter recuperating at the hospital after the accident
Mwarabu Fighter recuperating at the hospital after the accident
Sacked?

Mwarabu also confirmed that he has been on compulsory leave since February 2018;

“Kimsingi watu walikuwa hawajui, mimi nilisimamishwa kazi muda mrefu, tangu mwezi wa pili mwaka huu, niliambiwa tu nibaki nyumbani mpaka nitakapoitwa. Basi muda wote huyo nimekuwa nikifanya mazoezi na kufundisha vijana mambo ya ngumi, kwa hiyo ukiniuliza kuhusu kumlinda Diamond nitakuambia kwa sasa simlindi pengine yatakayofuata baadaye yatajulikana huko,” said Mwarabu Fighter.

Contract

A source at Wasafi told Ijumaa Wikienda that Mwarabu Fighter’s contract at WCB had expired. The source said Wasafi refused to renew the contract because Mwarabu was pestering WCB to hike his salary.

Mwarabu however refused to comment about his contract with WCB saying that the issue was a secret between him and his former employer.

“Mambo ya mkataba na kazi zangu WCB yatabaki kuwa siri, kwa sasa afya yangu ni muhimu kuliko kitu kingine,” Mwarabu alisema na kuongeza kuwa muda ukifika wa kuweka wazi mambo yote atafanya hivyo.”

 

 

 

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere