Popular Tanzanian actress shot dead in Johannesburg laid to rest

Tanzanian actress Leyness Ngunguye who was shot dead while in South Africa has been laid to rest back at home in Chamazi, Dar es Salaam.

Ngunguye was found in a pool of blood after being shot in the leg by unknown people in Nando, Johannesburg.

According to her brother Dalini Ngunguye who spoke to Global Publishers, the actress was killed while out with her friend shopping.

“Nilitoka nikaelekea hospitalini alikofikishwa kwa ajili ya huduma ya kwanza na baadaye kutaka kumuona ndipo nilielezwa kuwa itakuwa ngumu kutokana na hali yake kuwa mbaya.

“Niliendelea kusubiria ili nifanikiwe kumuona, lakini muda mfupi nilipatiwa taarifa kwamba ameshafariki dunia kutokana na kutokwa na damu kwa muda mrefu kufuatia jeraha la risasi aliyopigwa mguuni kisha akatokwa damu nyingi zilizotengeneza dimbwi baada ya kuanguka chini,” said Dalini.

Messages

The brother added that her sister was in fear after getting several threatening messages from unknown people. She had relocated to South Africa in 2000 and has left behind three kids.

“Nilijaribu kumshawishi aende kwenye vyombo vya sheria na nilikuwa ninamweleza hivyo mara nyingi sana kila aliponionesha ujumbe wa kutumiwa na huyo rafiki yake. Lakini yeye aliishia kutoa kauli ya kusema anamwachia Mungu ndiye anayejua kwani ndiye mpangaji wa kila jambo.” he said. 

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua