Professor Jay sheds tears as his multi-million shillings palatial home is demolished to pave way for road expansion (Photos)

Tanzanian MP-cum-rapper Joseph Haule popularly known as Professor Jay is among Dar es Salaam residents counting loses after their houses were demolished to pave way for road expansion.

Professor Jay’s palatial home, which is located in Mbezi Luis, Dar es Salaam, was marked for demolition in August after Tanzanian road authority – Tanroads determined that it was constructed in a road reserve.

Also read: Professor Jay afunguka kuhusu jumba lake la kifahari kuwekwa alama ya kubomolewa

Professor Jay’s house as it stood before demolition

The Mikuni MP moved to court to stop the planned demolition by Tanroads but on Friday evening September 29th Tanroads’ bulldozers brought down his house.

The veteran Tanzanian rapper revealed that he wasn’t able to save anything from his house as Tanroads didn’t notify him about Friday demolition.

Professor Jay’s house before and after demolition

Professor Jay cried as he narrated his ordeal on Instagram;

“Mimi ni mmoja wa wahanga wa hili zoezi la kubomolewa nyumba zetu huku Mbezi Kimara Tarehe 29/9/ 2017.
Jana nikiwa katika majukumu jimboni Mikumi Majira ya saa kumi mbili hivi jioni, nilitaarifiwa kwamba, watu wa Tanroads wakiwa wameambatana na grader mbili na magari mawili ya polisi (defenders) yenye askari waliokuwa na silaha mbalimbali za moto walikuwa wanabomoa nyumba yangu. (sijawahi kuumia kiasi hiki ?) Nimesikitishwa sana jinsi Tanroads wanavyoweza kujichukulia maamuzi bila ya kujali mhimili muhimu wa Mahakama wametoa maagizo gani. ? Na taratibu zilizotumiwa kubomoa nyumba yangu bila ya mimi na Tanesco kupewa taarifa saa kumi na mbili jioni (haukuwa muda wa kazi) na kubomoa huku Umeme ukiwa unawaka ni kitendo ambacho kwanza kina hatarisha maisha ya wabomoaji wenyewe, maisha ya familia yangu pamoja na majirani zangu , LIMENISIKITISHA zaidi. Nasema hivi kwasababu Tanesco wamenipigia simu baada ya masaa 24 au zaidi baada ya zoezi la kubomoa nyumba kufanyika kunitaarifu kuja kukata Umeme kabla ya ubomoaji huo, pindi nilipo waambia kwamba mbona nyumba IMESHABOMOLEWA kabisa na sijaweza kuokoa kitu chochote na hata hiyo meter yenu mnayoiulizia mkaitafute kwenye kile kifusi cha nyumba yangu kilichokusanywa kwa pamoja na watu wa Tanroads. Tanesco walishangazwa sana kuvunjwa nyumba yangu kwa taratibu hizo.
Lakini naamini kila kitu kinatokea kwa sababu maalum. Nimejifunza kumtegemea Na kumshukuru Mungu kwa kila jambo. Na hili ni moja ya mitihani ya hapa duniani. Nimepokea na kumsikiliza Mungu ana mipango gani juu yetu katika familia yangu mbeleni. Tumelipokea na Naamini tutashinda ??,” Professor Jay wrote on Instagram.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere