Rich Mavoko denies having beef with WCB Boss, Diamond Platnumz

Former WCB member Rich Mavoko has finally opened up about the alleged beef he has with Diamond Platnumz.

The singer who is currently flying high with his music and new name Billionaire Kid revealed that their is no bad blood between him and his former boss.

Rich Mavoko

Speaking during an interview recently, Mavoko opened up saying he is okay with how things worked out between him and his former record label; however he cannot say the same for WCB’s boss since he cannot speak on his behalf;

Hamna uadui kiukweli. Hamna uadui unajua siwezi kuingia kwenye moyo wa mtu au kichwa chake anawaza nini lakini kwangu mimi hamna uadui kwa sababu mimi naamini ni biashara imeshakwisha hatuna haja ya kutaka kuweka chochote tukiweka tutaonekana kama watoto… sitaki kuongelea tena sababu lakini nashukuru mungu vitu vinakwenda tena vinaisha lakini mimi nasema ni bishara ilifikia pale ikabidi iishe hatukuwa na ulazima sana biashara ni vitu za hiari mimi naweka talent wewe unainvest so ikifika kipindi sielewi tunaweza tukaongea tukamaliza kulikuwa hakuna ubaya wowote.

Rich Mavoko Tanzania singer reales a new jam

Why he left WCB

Till now some people still don’t know why Rich Mavoko left WCB but thanks to his recent interview, the Bongo singer went on to say;

Kuna Vitu ambavyo niliona vinaenda kinyume na vile nilikuwa nataka na mimi pia napenda kujipima. Hata mama pia alikuwa ananiambia jifunze kujipima maana kuna vitu vingi vilikuwa vinapungua kwangu. Kwa kukaa muda mrefu Jikoni alafu bila kutoa mapishi ambayo uko nayo. Nilikuwa narekodi material mazuri alafu yapo tu ndani nikiuliza kuhusu label inakuwa ni mambo ya kukimbiana kimbiana. Kuna kipindi nilikaa muda mrefu bila kutoa kazi hadi Mamangu mzazi akawa amepanic, ikabidii awapigie simu wahusika, maana alikuwa ananiambia kuwa kila siku marekodi lakini kazi hazitoki kwa hiyo nitaishia kuwa chizi muziki. Yaani nikiwa pale sikuwa naona future yangu. Kila siku imekuwa ni kuzungushana. So mimi nikaona isiwe tabu hii ni biashara na hatugombani nikaona wacha na mimi ni move lakini ikawa ngumu kidogo kwa kuwa wenzangu hawakunielewa kwa haraka haraka. So nikaona isiwe tabu nikwaambia naomba kuondoka, ili nifanye vitu vyangu,

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua