Romy Jones defends Wasafi Festival after bongo songbird, Shilole fiercely accused Diamond of being selective of his artists [videos]

Wasafi Festival President, Diamond finds himself at a tight spot after bongo songstress attacked him for being selective of Wasafi Festival artists.

Speaking to the press, Tanzanian actress, Shilole insists that Diamond should involve artistes outside WCB in his global Festival tour.

https://www.instagram.com/p/BzpnRYdFOnU/

The 31-year old singer further articulates that if at all Diamond meant his word that Wasafi Festival is for all, then so should it be.

According to her, it ought not be cheap talk from the East African star rather he should actualize his words.

Nataka nione Wasafi Festival wakichukua wasanii kama walivyokuwa wanafanya watu wengine.

Asiende kama Wasafi festival tumezoea kumwona Rayvanny, Lava lava, Harmonize, Diamond. Diamond ajaribu kuongeza wasanii wengine.

Kwasababu amesema hii ni yetu sote, kweli iwe yetu sote sio yetu sote kwenye mitandao but ndani hakuna cha wetu sote.

Naongea kutoka moyoni kwa sababu mi niko ndani na wasanii wengine wanaoleta changamoto kwangu.

The beauty feels bitter at heart after realizing that Wasafi Festival has always been about it´s own artistes.

https://www.instagram.com/p/B0eZvOzpC1Y/

According to her, there are many talented bongo flava artistes who are top performers in the industry but are not signed under WCB.

They ought to be given a chance for publicity and for growth in their music careers.

Shilole faults Diamond for not leading the pack as he ought to.

Na mi namwambia as my brother ii yetu sote, iwe YETU SOTE KWELI! Tour zake anazoenda, achukue wasanii na wengine ambao wapo.

Kuna wasanii wako wengi, aongeze. Kuna Roma, kuna Stamina, kuna Maua Sama. Ata mi asiponichukua, I dont´t care.

Ila kuna wengine pia ambao wameshatoa ngoma zao, ziko hit song. Ajaribu kupembua.

Romy Jones

However, WCB´s vice President, DJ Romy Jones comes out to address the allegations filed against his blood, Diamond Platnumz.

The Wasafi DJ neither denies nor accepts the allegations but believes it is just impossible to have everyone on the platform.

And for him, talent comes and goes and so do artistes, therefore, when the time comes for certain artistes to bloom, then they will be given the chance.

Sasa hapo, kila mtu anajitetea kibinafsi. Kwa mfano kipindi cha kwanza tulipomchukua Young Killer tukamwacha Bil Nas.

Watu wa mtaani si wanaeza wakasema hivo? Ule mda wa Bil Nas ulikua haujafika.

Sasa hivi tumemchukua Bil Nas labda tumemwacha tuseme Dudu Baya. Dudu Baya mda wake ulikuwa umeshaisha.

So kila kitu kina mda wake, kila mtu ana mda wake. Huwezi kusema kuna watu wengi wame-hit. Kwa hiyo watu wote walohit mtaani tuwachukue twende nao Wasafi Festival? Haitawezekana.

Kila mtu mwenye mda wake, utaonekana kwa right time.

Furthermore, DJ Romy Jones had to answer why they are wearing off Diamond who is allegedly performing show after another to the expense of his performances.

Sasa hapo inategemea ni nani alosema show za kawaida.

Mimi ambaye nipo ndani ya show sioni kama show za kawaida.

Na ndo maana labda show zinakua ni nyingi.

https://www.instagram.com/p/B0c-4I9BYk2/

 

Interviews

https://www.instagram.com/p/B0jpz3DhXr-/

https://www.instagram.com/p/B0jqD_lhj_e/

About this writer:

Gloria Katunge