Sauti Sol’s Bien reveals why fans will never get to see his wedding photos

Image: Bien Aime

Sauti Sol’s Bien Aime has come out to reveal why he held a private wedding. Being one of the most loved and celebrated Kenyan artist; definitely many would have loved to witness his union, but unfortunately this was a private affair.

Mr and Mrs Baraza

This comes a few months after the singer walked down the aisle with his long term girlfriend, Chiki Kuruka. According to reports this was  a low key wedding that saw family and friends attend. Speaking to Massawe Jappani just recently, Bien for the first disclosed unknown information about his wedding.

Unlike what many know, Bien held a private AG wedding since he did not want something extra; luckily for him, his bride Chiki was also on board with this idea – making it easier for the singer.

He went on to mention the main reason for keeping his wedding photos private saying;

Hizo picha sijaziweka wazi kwa sababu, Harusi yangu first of all haikuwa harusi ya Kawaida. Nilienda kwa AG, na after kwenda kwa AG; nilifanya tu lunch ndogo nikainvite tu marafiki zangu wa karibu tukala lunch. Hiyo vibe ambayo ilikuwa hapo ile siku, ilikuwa the happiest day of my life, sijapata kufeel hiyo kitu siku nyingine, pahali pengine popote.

No suits, No wedding gown

About his outfit of the day, Bien revealed that he wore no suit; something that would leave fans questioning him, if he decided to upload the photos. He went on to add;

Na nikipiga picha niwekee mtandaoni, mtu ambaye anaangalia hiyo picha haelewi circumstances; haelewi contexts ya kwa nini watu wamevaa vile wamevaa. Haelewi mbona hii harusi haina Bibi harusi mwenye amevaa nguo sijui inakaa aje. Haelewi mbona Bien hajavaa suti.

He went on to add that he does not wish to have a bitter exchange with some of his shallow minded  social media friends saying;

 “Sitaki kupatia watu wajinga nafasi ya kupeana maoni yao kuhusu Harusi yangu. Kwa hivyo nikajiwekea hiyo siku; ndo nisijiharibie hiyo siku na comments za watu. Staki ufala, mimi vitu zangu ni vitu zangu na nilienjoy sana hiyo siku. Nikiweka huku njee watu waanze kuweka comments zao; mimi hukuwa mtu ambaye na-catch feelings Haraka sana. Nitajipata natukanana na watu huko. Watu wako na vitu mingi kwa vichwa zao vile mimi nafaa kuishi maisha Yangu, but hii ni yangu na mimi ndo nitadictate. Wasahau hiyo mamabo hakuna picha wataona”

Well, there you have it!

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua