Diamond´s music producer forced to respond to ´Baba Lao´ song copyright claims

Tanzanian music producer, S2Kizzy who is the mind behind Diamond´s ¨Baba Lao¨ hit, has been forced to respond to allegations about its originality.

Apparently, ¨Baba Lao¨ copies Nigerian artist´s Naira Marley ¨Soapy¨ jam, something S2Kizzy has admitted on.

According to the ´Tetema´ producer, they were ´inspired´ by the song. During his exclusive interview with Wasafi FM, S2Kizzy said that this project did not just start yesterday.

https://www.instagram.com/p/B4e93F2AdhQ/

Revealing that ¨Baba Lao¨ is a song that he and Diamond have been working on for a while now and that they had to seek copyright rights from Naira.

S2Kizzy narrates:

Kitu ambacho watu hawajui kuhusu ngoma ya ‘Baba lao’ ni kwamba tulianza kurekodi kitambo sana, Wakati tukiwa Madagascar mimi Diamond. Tulienda na studio ndogo siunajua sisi ni watu wa muziki tukawa tunagonga mawe tu. Tulikuwa tumekaa tunagonga ngoma fulani slow hivi.

It is at that point that ¨Baba Lao´s¨ inspiration came in.

Pale tulipokuwa tumekaa palikuwa na TV inaonesha chaneli fulani hivi,  mara ikapita ngoma fulani ya Naira Marley ‘Soapy’ tukasema mbona kama ngoma ina vibe fulani hivi..Na siku tunaweza kufanya ngoma kama hii. Basi tukaona ngoja tufanye ngoma kama hii halafu tutawasiliana nao wenyewe. Kwa hiyo tukawa inspired na wimbo wa Naira Marley unaitwa ‘Soapy’, Kwa tukaona tunaweza tukaweka maneno yetu, Vibe letu na vitu vyetu lakini kwenye type ya muziki kama huo.

Finally, with everything settled and secured, it has been a success for them.

Besides that, S2Kizzy affirms that Diamond is a big artist who is familiar with copyright issues when it comes to the music industry.

https://www.instagram.com/p/B2o_SoHgVJm/

Therefore, there is no way he would intentionally plagiarize another artist´s work without official communication.

Interview