Harmonize reveals why he walks with so many bodyguards nowadays

Singer Harmonize while speaking on Citizen TV has revealed why he has so many bodyguards nowadays compared to earlier to how he was doing early in his career.

Youth

Harmonize on follow me

Speaking to Wilis Raburu, the popular Tanzanian singer confessed that nowadays he has many bodyguards not to show off or for security purposes like the way other celebrities do but to create job opportunities for unemployed youths.

“For me security unawaona na mimi ni watu nimewafahamu ten years ago nikiwa bado mtaani nikifanya biashara ndogo ndogo kupata riziki alafu ikafika point Mungu akanifanya niwe Harmonize nna wao walikuwa bado mtaani wakiangaika nikasema kwani nisiwaite ndugu wenzagu tuchape kazi kwa pamoja tukitafuta riziki and to me they are not my security guards but my brothers wenye tunashirikiana kwa pamoja kupata riziki,” he said.

He added that tagging with these youths gives them an opportunity to put food on their table.

“Kila pahani napo kwenda mimi huenda nao na kwa mfano, kutoka Darsalam kuja hadi Nairobi means alot to them and they are many brothers and am proud of them,”He disclosed.

 

 

Harmonize manager speaks about Konde Gang that will compete with Diamond Platnumz’ Wasafi 

Harmonize manager’s Dr Jembe has officially introduced the much-awaited Konde Gang that is expected to give Diamond Platnumz’ and former home of Harmonize a ran for their money.

Dr. Jembe spelled out the mission of Harmonize’s new group and how they’ll take over the music industry which has been dominated by Diamond and his crew.

“Watanzania tujifunze kufurahia Mafanikio ya wengine..Pale mwingine anapofanya jambo la Kupiga hatua mbele kwenye mafanikio,tunatakiwa kumpongeza kumtia Moyo,kumfariji na Kumuonyesha kwamba INAWEZEKANA!” he said. 

The manager also asked Tanzanians to support them instead of always looking at the negative side of the story.

“Sio kutafuta kasoro ziko wapi na kumsemea jinai atakavyofeli na maneno mengi ya kukatisha tamaa..pumbaff..???????? Big up dada yangu.You got my support as always.GOD BLESS YOU????????????

Kamenuka! Harmonize shares more signs that he’s ditching Diamond and his record label

Persistent rumors of Diamond Platnumz’s best signee Harmonize leaving Wasafi Records have dominated the online world for months now.

As much as Diamond and Harmonize have tried downplaying it, fans have a feeling that Harmonize is no longer a member of the record label.

Not leaving

The chemistry is no longer there and Harmonzie has been missing Wasafi’s key appearances. Harmonize recently gave fans more doubt after changing “Signed under WCB Wasafi Label” on his social media pages that used to show he is a signee of WCB Wasafi.

All other Wasafi artists have that line except him which further fueled rumors that he’s on his way out.

A few weeks ago, Harmonize told journalists to stop focusing on negative things and understand that he’s not leaving Wasafi.

“Tujitahidi sio kila kitu ni kuangalia tu Negative, tuangalia na positive side pia,” he said.

“Alafu ukiangalia sisi ni familia , na kitu ambacho unakitengeneza kinaweza kupelekea familia kuingia katika malumbano. Kitu kama Bus, sidhani kama mwandishi wa habari umeshindwa kuniuliza vitu vyote vya kimaendeleo, kuwa Konde Gang wameenda na Basi wasafi Festival.”

 

 

Harmonize honored by YouTube for hitting one million followers 

Singer Harmonize has joined the elusive million followers club on Youtube.

The Tanzanian, who has a following of 3.8 Million followers on Instagram, hundreds of thousands of followers on Twitter and close to 200K likes on Facebook, was honoured by Youtube with the Gold Creator Award for hitting 1 million subscribers.

Taking to social media, Harmonize looked more than excited for the award saying that he’s among the big four now.

Daaaah….!!! Mungu Mkubwa Sanaa….!! Eti Namimi Leo Nimeingia Katika Record Ya Wasanii (4) Africa Wenye Hii Tuzo Ya One Million Subscribers, Wanasema Kwa Hapa East Africa Ni Kaka Yangu…!! Boss Wangu…!! my role model…!!!! #Simba….!!!!! @diamondplatnumz you mede it again bro I will never disappoint you …!!!!! #SIMBA Then #yemialadeKisha #davidoofficial Na Kisha #JESHISpecial thanks to my fans all over the world many more coming ….!!!!! #KONDEBOY4EVERYBODY #WCB4LIFE@youtube,” wrote Harmonize.

Harmonize denies ditching Diamond Platnumz- Wasafi is my family, bila Wasafi hakungekuwa na Harmonize

Singer Harmonize has denied that he has left WCB family as rumours have been claiming throughout this week.

Harmonize, who missed the first edition of Wasafi Festival told reports that he is very much part of Wasafi family and people should ignore the rumours.

Reporters at a briefing wanted to know why Harmonize used a bus branded “Konde Gang” to transport his team members (Konde gang), yet WCB Wasafi had other buses doing the same job.

“Tujitahidi sio kila kitu ni kuangalia tu Negative, tuangalia na positive side pia. Alafu ukiangalia sisi ni familia , na kitu ambacho unakitengeneza kinaweza kupelekea familia kuingia katika malumbano. Kitu kama Bus, sidhani kama mwandishi wa habari umeshindwa kuniuliza vitu vyote vya kimaendeleo, kuwa Konde Gang wameenda na Basi wasafi Festival. Si Basi ni usafiri, kama usafiri hautoshi kuna tatizo gani. Kaa kama mwandishi fikiria kuuliza vitu ambavyo nivya kimsingi vya kujenga Sanaa. Sio kutafuta misuguano sisi ni familia, it doesn’t make sense.” he said. 

Family

Explaining further, Harmonize said that WCB is his home and he can’t go anywhere else.

“Wasafi is my family, bila Wasafi hakungekuwa na Harmonize, so ukijaribu kutengeneza vitu vya kusuguana haisaidi chochote. Harmonize amezaliwa Wasafi na Diamond ni kama Kaka yangu lakini tena kwenye muziki ni kama baba yangu. Without Diamond hamna Harmonize. So tujaribu kutafuta vitu vya kimsingi vya kuuliza ambavyo vitakuza Sanaa yetu, sio kuangalia vitu vidogo vidogo ambavyo havina hata msingi na kuvipromote that not good bro,” said Harmonize.

 

 

Diamond Platnumz clarifies on his friendship with Ali Kiba

Diamond and Ali Kiba are brand Empires that are moving crowds in the motherland of Tanzania.

The two hardly, if ever, see eye to eye. It just happens that the two don´t collide in random places.

However, their fans and their careers betray them. They ignite the fire, cool it down, before breaking hell loose once more.

But this time, Diamond shares positive sentiments about his arch rival brother, King Kiba.

Speaking to the media, Chibu articulates that he has no reason whatsoever to draw a wall of hatred between him and Ali Kiba because the two are just doing their job.

According to the Wasafi founder, he finds no purpose in partnering with his fellow star, Harmonize, to pull Kiba down.

Mimi sioni sababu yakutengeneza bifu na Harmonize kwaajili ya kumwaribia Alikiba kwani kila mtu anaridhiki yake mimi naamini kwenye kazi na sio mambo mengine.

Further urging his fans and masses at large to stay away from propaganda because it is not a noble thing to do.

https://www.instagram.com/p/B0fvUBnBMRu/