Rich Mavoko finally reveals the main reason he left Wasafi Records

Singer Rich Mavoko who currently flying high with his new song Usizuge seems to be doing much better than when he was signed under Wasafi records.

Rich Mavoko with former former boss, Diamond Platnumz

 

The artist has now managed to get back his touch in music something most of his fans claim he had lost. However during a recent interview he got the opportunity to reveal why he was not dropping new music.

Apparently the Wasafi management had been pushing down his projects despite spending sleepless nights in the studio. Mavoko says he tried having his songs released but his former management kept hitting him back with excuses and at some point his mother had to step in to intervene.

No future

According to Rich Mavoko this left him feeling that he had no future in the music industry; and for this reason he decided to leave.

Kuna Vitu ambavyo niliona vinaenda kinyume na vile nilikuwa nataka na mimi pia napenda kujipima. Hata mama pia alikuwa ananiambia jifunze kujipima maana kuna vitu vingi vilikuwa vinapungua kwangu. Kwa kukaa muda mrefu Jikoni alafu bila kutoa mapishi ambayo uko nayo. Nilikuwa narekodi material mazuri alafu yapo tu ndani nikiuliza kuhusu label inakuwa ni mambo ya kukimbiana kimbiana. Kuna kipindi nilikaa muda mrefu bila kutoa kazi hadi Mamangu mzazi akawa amepanic , ikabidii awapigie simu wahusika, maana alikuwa ananimabia kuwa kila siku marekodi lakini kazi hazitoki kwa hiyo nitaishia kuwa chizi muziki

He went on to add;

Yani nikiwa pale sikuwa naona future yangu. Kila siku imekuwa ni kuzungushana. So mimi nikaona isiwe tabu hii ni biashara na hatugombani nikaona wacha na mimi ni move lakini ikawa ngumu kidogo kwa kuwa wenzangu hawakunielewa kwa haraka haraka. So nikaona isiwe tabu nikwaambia naomba kuondoka, ili nifanye vitu vyangu.

However unlike what many think, Rich Mavoko says he has no bad blood with the Wasafi team.