Diamond´s campaign against the spread of HIV/AIDS sparks mixed reactions

Diamond Platnumz´s Wasafi Festival 2019 is geared towards campaigning against the spread of HIV/AIDS especially in the bongo land.

With the Festival already underway, his consistent plea to masses is to attend and get tested during the global tour.

https://www.instagram.com/p/B002ntGJXgP/

In conjunction with Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS), Chibu emphasizes the importance of knowing your HIV status.

Additionally informing his followers that his Wasafi team has put in place necessary measures to ensure easy access to the HIV testing facilities.

Kupima Virusi Vya UKIMWI ni jambo jema kwako kwa kuwa linakuwezesha kujua hali yako na kuweza kupanga maisha yako ili kufikia malengo uliyojiwekea. Kijana wa kitanzania usikubali kuishi bila kujua hali ya afya yako. Pima | Jitambue | Ishi

Kwa kulitambua Hilo Wasafi Festival 2019 kwa kushirikiana na TACAIDS wameandaa utaratibu wa kuweka mabanda kwa ajili ya kupima VVU katika kila mkoa ambapo Tamasha Hili la Ki Historia linafanyika.
@tacaidsinfo

https://www.instagram.com/p/B02p67apzSr/

Mixed reactions

However, his post has attracted mixed reactions with some of the sentiments aired being:

gigy_money_og Tunapima leo ????woyoo

 

rayctanzania Yani we unataka watu wazimie kabla ya show!????‍♂️

 

kitoukooh_????????????????daaah haya mambo ya kupima nyie unawahi kufa ????????tena hufi kwa ukimwi unakufa kwa stress????????

 

kitoukooh_@3classic_baby????????????mwenzangu mm ukimwi sina coz nalindwa na damu ya yesu ????ata nikisex na mtu mwenye ukimwi mm hanipat nakemea pepo ukimwi tokaaaaaa????

 

nyalkasitta Simbaa we umepima lkn 2onexhe majib yko kaka????????

 

aronichota@nyalkasitta smb wte tumepim ndio maan Tim yt inafny vizur ila wenzetu nawaswas fowad wao wanaumw maan kufung hawajui wakifik golin wanapg kasutiiii kadogo sio shutiiiii

 

mullastar255  ukienda sana hospitalini kupima kila wakati inasemekana kwamba utakipata unachokitafuta.ni kama kwenye Biblia imeandikwa atafutaye kwa bidii hupata

 

rwegasira_arnold Mh kupima tena hapana bora nikae hivi hivi kama vipo poa nitakua sijui

 

_maleek21 Tatizo mzee baba linapo kuja Kwenye kuchukua majibu madoctor huwa wanatuogopesha kinoma hadi mtu unaamua ukimbie tu uache majibu ????

 

officiialikiba Wewe umepima #jokes