Na bado? Hamisa Mobetto reveals her desire to sire 7 kids though currently single

Diamond´s ex-girl, Hamisa Mobetto articulates she is still single and not ready to mingle but does not mind to sire 7 children in the near future.

https://www.instagram.com/p/BySGPKslcaY/

The Tanzanian socialite has been bashed after allegedly snatching a family man before she coming out in defense:

Mnataka niwaambie nini,

Mlichokiona ndiyo hichohicho isitoshe mimi sio mtoto mdogo kwa hiyo naelewa ninachokifanya.

Sijaiba mwanaume wa mtu ila alikuja mwenyewe na nikampenda nifanyeje sasa.

https://www.instagram.com/p/BycxJgYl1-Q/

However, she shuts them all up by pointing out how busy she is lately, with her major focus being her 2 young ones, leave alone a love life.

Niko single, I’m not in any relationship and I’m not ready for now.

I’m very busy to the point sidhani kwamba mimi ninaweza kumpa attention kama ipasavyo,

Kwa hiyo kuna vitu ambavyo navifanyia kazi, focused on my work na muda ambao unabaki nautumia na watoto wangu.

Fortunately, all hope is not lost for her after she confirms to the public that she will still grace the dating scene eventually.

But that doesn’t mean that I will be single forever.

Kuna hatua nataka nifike basi nikishafika pale ndo nitafikiria kuwa na mahusiono tena

https://www.instagram.com/p/ByiDkKNlWw0/

Furthermore, the video vixen-cum-singer dropped a bomb after unveiling her family dreams:

Mimi nina ndoto ya kuwa na familia kubwa kidogo, na huwezi kujua mungu kanipangia nini.

Hata nikipata watoto watano au saba ni sawa,

I love kids so much.

Unajua mimi nimezaliwa pekee yangu so najua changamoto za kuwa pekee yako kwa familia.

Ndo maana tayari nina watoto wawili.