Meet the Tanzanian artist who faked his own death to promote his upcoming project

Singer Meja Kunta has found himself in trouble with fans just a few hours after his death was announced on social media.

The fella was reported to have lost his life in a tragic road accident while on his way to Tanga where he was set to perform at Mziki Munene concert.

This was reported by his manager called Gmaker – who now says that the singer is still alive. He went on to apologize by saying;

Meja fakes death

Ndugu Watanzania, mashabiki wa mziki wa singeli, na mziki kwa ujumla, wazazi wa @mejakunta_ , waandishi wa wahabari, ndugu jamaa na marafiki, nasikitika au kuomba radhi kwa nilichokiandika jana usiku kupitia ukurasa wangu wa IG. Mejakunta ni mzima wa afya nipende kuwatoa hofu. naomba sababu ya post niiongelee wakati mwingine. kwa dhati kabsa naomba samahani tena. matibabu yanaendelea vizur kabsa. tunashukuru mashabiki zetu kwa salamu nyingi za pole na kuwa pamoja nasi. God is good all the time.

Juma Lokole exposes Meja

Blogger Juma Lokole who seems to be close to Meja and his management also confirmed that Meja was indeed involved in an accident but was still alive. He shared a new post where he said;

 

MEJA nakwita tena MEJA mara ya mwisho MEJA ……..!! najuwa Kama ulipata ajali juzi na nilipigiwa simu usiku sana mkiomba msaada …… Toka umepata ajali ujashika simu ……!! Ujafa na upo hai kabisaaaa yote unayaona watu wanavyo lia ….!! Nakuomba andika jambo plz ……. hi kitu itakutokea puani nawajuwa wabongo kwa nongwa …..!! Jamani ajafa yupo hai kabisaaaaaa ….. mbavu tu zinamuuma kwa ajili ya ile ajali ila mzimaaaa

 

Meja fakes death