Too much exaggeration! Rayvanny’s lavish lifestyle gets fans talking [Photos]

Wasafi artist, Rayvanny hasn’t spared fans after splashing social media with photos of his lavish home and flamboyant lifestyle.

The bongo star shares a series of photos of his lover and their kid at their mansion. That is not all. The team of bodyguards guarding the family of 3 is a complete draw back.

https://www.instagram.com/p/B1Dn1rsAxV9/

Well, it comes as no surprise if the recent chains of events showing his exotic expenditure is anything to go by. But hey, wait, this is just way overboard.

Fine, the ‘Tetema’ hitmaker did not have an all rosy childhood, sharing a video of his old times but he took it a little bit too far.

Take a look:

https://www.instagram.com/p/B1V-YmNANuT/

Additionally, barely months ago, Vanny Boy flaunted the brand new Mark X ride that he gifted his producer, S2Kizzy with.

This is sure evidence he is living life on the first lane and neither are any of the remaining Wasafi artists. Lest we forget, Diamond was busy making exotic purchases of Diamonds in the US.

Photos

https://www.instagram.com/p/B1F4aqQAF4k/

Feedback

Fans are not for any of it, a bit! According to them this is a way exaggerated kind of lifestyle for the Wasafi artist.

And plus, does he need 4 bodyguards guarding his every move. Come on!

Afu Sometimes Ma Bodyguard Awafai Maana Wanaweaa Kukuzangaza Kwa Watu Kuwa Nikibonde ????????

 

@dimoondplatnumz no sense wasanii wamegeuka vichaa mabodgad kwao ndo dili….alafu kingine mabodgad hao wanalipwa kula tu mishahara nadra….siuliona mwarabu wa harmonize alilalamika miaka mitatu ajalipwa chochote……ni kujishow tu hawana ishu

 

Ma bodyguard Ni wa kazi gani surely ????????????na mko home,enyewe nyj watu mnapenda ku exaggerate maisha????????????????????????

Mna laana Sana nyie watu,,,mmeshndwa kumuamin mungu anaewapa pumzi,,mnawaamin binadamu wenye miili mikubwa,,,mmesahau mungu akiamua anachukua roho zenu mbele ya hao mnaowaamin na wacwe na la kufanya,,,
@vynnev ????????????????sofa hail ya juu.. evn beyonce n ja n mny more stars dont act like this.. it’s just illiteracy
????Jamani hao watu wengi
Wanalinda nn hasa apo
Bodyguards mpaka home???????????????Too much exaggeration
Yan unacheza mpira pembeni walinzi,unakula pemben walinzi,unacheza na mwanao pembeni walinzi,umeenda kunya nje kuna mlinzi, una jig jig na dem pembeni kuna mlinzi sidhan kama hii nisahihi mana ningekua mm nisingeweza kabisa. hii ni sawa na kusimamiwa ifikie hatua wasanii wajifunze mlinzi
unaenda nae sehem ya watu wengi tu na kuna mlinz wa nyumbani na wa kutembea nae sasa unamkuta msanii ana interviw af anaenda na mlinzi wake studio jamani huo ni ushamba na ujinga watangazaji wamekua na ww tokea hujulikan mpka leo unajulikana af unaenda kweny studio ya redio ile ile uliokua unaingia na kandambili na walinzi zaid ya mmoja sio vzr kabisa tujifunze kuacha kujikweza hakuna mlinzi anaeweza kuzuia kifo xo tuish maisha ya kawaidu tu
Hao walinzi wanakulinda usitoroke au wanalinda usalama wako?? Ukaaji na uelekeo wao ni Kama wale wanaolinda wafungwa ….
But Tanzanian artists watatuonyesha mambo na security jameni ????