Diamond – Wasafi festival 2019 ina lengo kubwa mbali na burudani [video]

Diamond reveals different intentions for the yearly Wasafi Festival in Tanzania.

Wasafi festival 2019 in Tanzania has officially kicked off as articulated by the CEO while speaking to Wasafi media.

https://www.instagram.com/p/BztaPInpynj/

However, it will not be business as usual as he seeks to have this year´s festival have a positive impact on the lives of his fans.

The bongo sensation not only desires to entertain masses but also leave see changes in different parts of his mother land.

He wants this to be a platform that offers opportunities to individuals.

https://www.instagram.com/p/BzvNWP0Jkdl/

Therefore insists that all should hold hands together to ensure the success of the festival and those with opinions on the same, should offer them too.

And in the end, not only benefit individuals or himself, rather his country at large.

Wasafi festival iko tayari inakuja, ndo tumeanza rasmi sasa.

Lakini tu niwasisitize kwamba lengo kubwa la Wasafi festival, licha ya burudani, ni kuona sisi kama Wasafi, tunaezaje kutengeneza fursa katika kila mkoa na sehemu tofauti tofauti.

Hilo ndo lengo kubwa. Twawatengezaje kwa fursa?

Sisi tunapokuja pale, ukiacha mimi nikuimbie tu, utaskia kwenye CD, nitaperform lakini mimi nawezaje kukusaidia kubadilisha maisha yako.

Kwa kila mkoa, kila tunapoenda, watu wawe tayari, wajiandae na kuna vingine tutavitangaza

Pengine wao pia wasuggesti ndio tuweze kusaidiana

So, kusaidia tu kutoa hela kuna nyanja nyingi za kufanya ili tulete maslahi chanya kwenye nchi.

https://www.instagram.com/p/BzvTAuHBjB1/