Your turn Khaligraph? Harmonize finally responds to Ben Pol’s allegations that he wanted to sleep with his fiancée Anerlisa

Tanzanian singer Harmonize, who has a fiancee and Khaligraph Jones, who also has a fiancee, were recently frogmarched on social media by singer Ben Pol.

Pol claimed the two have been trying to sleep with his fiancée Anerlisa Muigai and have been camping on her inbox.

“Wasanii wapo ninawaona Shettah. Harmonize, Khaligraph wasanii wapo nawaona kwanza blue ticks pale verified lakini sishangai kwa sababu ni msichana mrembo na ukipata nafasi ya kukaa naye kama hivi ndio unaona uzuri wake Zaidi. Zinaonekana,”said Ben Pol.

Harmonize recently responded to these allegations saying that Pol was just sharing those stories to create buzz for his new song.

“Unajua mkiwa katika mahusiono kila mtu anataka kumheshimu mwenzake kuwa usinichukulie poa, kuwa kuna mtu, Fulani alishawahi kunitongozanga, Kuna vitu vingine vinaongelewa vinaweza kuwa vya ukweli au sio kweli. So as a gentleman ukisikia vitu kama hivyo si vizuri kuweka kwenye Public. Angeniambia tu bro wife kaniambia hivi na hivi, na mimi ningemwambia that’s not true. Hamna ukweli kwa hilo, before I was feeling bad lakini nikasema sisi binadamu. Mwanamke wa Ben Pol mimi nimemjua hata kabla hajamjua Ben, like three years ago” he said. 

Brothers

Profile for Harmonize

The Wasafi singer added that there’s no way he can see two people dating and still try to spoil what they have. He added that he has known Pol for many years now and there’s no way he could do such a thing to him.

“But mimi naheshimu na sisi ni binadamu sometimes tunateleza. Labda shemela wetu pia kaamua kusema ivo kumwasha bro kuwa usinichukulie poa, kuna watu bado wananifuata. Mimi sio stupid kuona watu wako kwa mahusiano serious alafu mimi namtext DM. Ben Pol is my brother and I love him so much an nimeshiriki katika kazi yake ya Why and I like him he is just humble and my role model too because mimi nimeanza kumskia Ben Pol back in the days at a time I was nobody,” said Harmonize.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua