Majizo Aunda Kamati Ya Kusaidia Matibabu Ya Ruge

Mkurugenzi wa EFM na E-TV, Majizo ameunda kamati ambayo itaratibu namna ya kukusanya fedha za kusaidia mtibabu ya mkurugenzi wa vipindi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba ambaye yupo nchini Afrika Kusini kwa matibabu.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha Cloud360 cha Clouds Tv, Majizzo amesema kuwa kamati ya kuchangisha wa pesa za matibabu imeshaundwa na imeanza kukutana siku ya jana.

download latest music    

Lengo letu ni moja tu kuhakikisha Ruge anarudi mtaani kwani gemu bila yeye linakuwa halina ushindani, Watanzania tunapokuja kwenu tunaomba mtupokee kwani Ruge ni wetu sote sio wa Clouds tu”.

Lakini pia Majjizo amekanusha tetesi za yeye na Ruge kuwa na bifu na kusema kuwa ni mtu ambaye amekuwa kama kaka, rafiki na mshauri kwake kwani ana mchango mkubwa kwake katika kufungua vituo vyake vya habari.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.