African Boy Yamfikisha Jux Mbali Zaidi, Apata Dili Nono China
Kama anavyosema mwenyewe kwamba kipindi anaanza kufanya kazi na kutengeneza brand ya African boy hakutegemea kama ingekuwa kubwa kama ilivyo sasa hivi lakini kutokana na mapenzi makubwa ya mashabiki zake na mapokezi mazuri yalimfanya aendelee kukuza na kuitanua brand hiyo mpaka kufikia alipo sasa.
Leo hii Jux anasherekea mafanikio yake na brand yake kwa kuwashukuru sana mashabki ambao walikubali kuvaa viatu, kofia, t-shirt na kila kilichotoka ambacho walikibatiza jina la African Boy.
Akiwa nchini China, Jux anaandika haya kwa mashabiki zake kuwa onyesha kuwa brand walioanza kuitengeneza na kuipa jina la pamoja sasa hivi imekuwa na kuweza kumpa dili nono nchini China na kufanya iendelee kukua zaidi.
When i started a african boy it was just ana hashtag statement about being an young african living, hustling and studying in china.the brand became me and I became the brand from T-shirt to backpacks to shoes you named it.Today i signed asmart and crulative with chinese manufactuer vendome ,this would have been impossible without you ,You made African boy yours, and you made it global.