Agness Masogange Afariki Dunia
Video vixen wa bongo wa muda mrefu Agness Masogange amefariki dunia muda mfupi ulopita akiwa hospitali ya ya Mama ngoma Mwenge jijini Dar es salaam.
Mpaka sasa bado haijafahamika sababu ya kifo chake lakini inavyosemekana ni kuwa marehemu alikwa mgonjwa na kupelekwa hospitali.
Ni hivi juzi tu Agness Masogange alikwepa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kuweza kulipa faini baadaya kupokea hukumya ake baada ya kukutwa akitumia madawa ya kulevya.