Ali Kiba Afunguka Baada Ya Kusainiwa Coastal Union

Staa wa muziki wa Bongo fleva Ali Salehe Kiba amefunguka mara baada ya kucheza mchezo wake  wa kwanza ndani ya Coastal Union ya jijini Tanga.

Miezi michache iliyopita iliwekwa wazi kuwa Ali Kiba atatanua ujuzi wake na kuanza kucheza soka la kulipwa ndani ya Coastal Union.

download latest music    

Baada ya kuwa mkimya kwa muda kuhusu kuasajiliwa chini ya timu hiyo kwa ajili ya kucheza soka la kulipwa hatimaye Ali Kiba anafunguka na kuweka wazi nafasi yake ndani ya Coastal Union.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ali Kiba ameandika maneno haya:

https://www.instagram.com/p/BnlkBF0nUCa/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=6bd15aapslui

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.