Alichokisema Harmonize baada ya kutambulishwa kama mwizi

Harmonize na Rich Mavoko wako na wimbo mpya Show me lakini stori zinazoenezwa mitandaoni ni kwamba waliiba wimbo huyo kutoka kwa msanii KCV.

Msanii huyu, KCV amedaiwa kuwa kwenye WCB ambapo alirekodi wimbo huo.

download latest music    

Harmonize alifikiwa kwenye Whatsapp na Bongo 5 na ndipo akajibu ya kwamba yeye hawezi ongelea jambo hilo hadi ambapo atausikia wimbo huo wa KCV.

Producer wa WCB Laizer pia alikana madai hayo na kusema hamfahamu KCV hata kamwe.

 

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi