Alichondika Wakazi Kuhusu Kufungiwa kwa Diamond.

Baada ya kufungiwa na Basata hata kukaidi  amri hiyo na kuamua kufanya vile wanavyotaka wao BASATA  waliwaongezea adhabu msanii Diamond Platinumz pamoja na ravyanny kwa kutokufanya kazi za sanaa kabisa kwa muda usiojulikana .

Wasanii  walizua gumzo sana katika mitandao ya kijamii  hasa kwa sababu wao ni moja ya wasanii wanaochngamsha sana indusrty ya sanaa kwa sasa kutokana na nyimbo zao, lakini pia wamefungiwa muda mabao mashabiki wengi walitegemea kupata burudani kutoka kwao.

download latest music    

Baadhi ya wasanii waliongea kila mtu alisema hisia zake, Moja ya walioongea hivi karibuni ni msanii WAKAZI ambapo yeye anasema kuwa swala la diamond kufungiwa na BASATA itakuwa ni kwa sababu  amekuwa akihitenga sana na wasanii wenzake na hata vikundi mbalimbali vya sana nchini.

WAKAZI anasema kuwa kuna mambo ambayo wasanii waaweza kuyafanya kwa pamoja kuepuka hayo yote lakii kwa sababu yeye tayari anaingiza pesa za kumtosha anaona hata hakuna haja ya kumjuika na wenzake.

anasema “Maybe ungekuwa unakuja kushiriki nasi tungekuwa tumei vunja BASATA na kuanzisha BASATA mpya inayoelewa kuwa the society is different, kuzingatia biashara, etc. Kuwa to mkaidi (Kwa Waziri Shonza, Basata) sio solution. Kwa nguvu uliyonayo ungeweza kusaidia sana ila inaonyesha we uliridhika as long as you were making money. Well “Karma is a B”. Kuna Chama chetu cha TUMA (Tanzania Urban Music Association) hebu kuwa karibu, changia mawazo, onekana kwenye vikao. Utafanya kazi zako huru kabisa kama tutaibadilisha system, ila haitobadilika bila kujihusisha na kuungana na wenzako.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.