Aliyoyasema Wema Baada ya Kupokea Tuzo

Malikia wa bongo movies, Wema Sepetu juzi aliweza kupokea tuzo kwa kushinda vinyang’anyio mbalimbali huku filamu yake ya heaven sent ikiwa imemsaidia kupata tuzo hizo.

hata hivyo baada ya kupokea tuzo hiyo akiwa palple jukwaani wema alipata nafasi ya kuzungumza juu ya tuzo hiyo ndipo aliposema kuwa kuna baadhi ya kundi la watu wamekuwa wakitaka kumuangusha na kuonekana hafai bongo movies wakati amekuwa akijitahidi kufanya kazi.

download latest music    

Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru alla’h sub’banah wata’Allah  kunifikisha hapa nilipo..najua kuna mambo mengi yamefanyika kwa ubaya ila yeye ndio amekuwa tumaini langu kubwa..namshukuru sana mama yangu mzazi na familia yangu kwa ujumla  na kusimama na mimi bega kwa bega katika kila kitu

Hata wiki moja haijapita tangu kupokea kwa tuzo hizo, baadhi ya wasanii wa bongo movies wameanza kukwaruzana na kutupiana vijembe kuwa Wema amependelewa na haikuwa haki yake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.