Amber Lulu Amsusuia Jina Amber Rutty

MwanadadaAmber Lulu amefunguka na kusema kuwa hataki tena kuitwa Amber kama ambavyo alikuwa akiitwa hapo awali kutokana na ukweli kuwa watu wanaokuja baaada yake wamekuwa wakilitumia jina hilo vibaya na kumchafua yeye na jina lake la Amber.

Maneno ya Amber Lulu yamekuja baada ya mwanadada Amber Rutty kukutwa na skendo ya kusambaza picha akiwa na mpenzi wake faragha na pcha hizo kufanya jina la Amber Rutty kuchafukliwa sana na habari hizo.

download latest music    

Amber Lulu anasema hata kaka mwanadada huyo anafanya mambo hayo kwa kiki ni vibaya na inachafua sana  taswira ya wanawake   na pia neno AMBER  linemkuwa likiwafanya mashabiki wajue kuwa ni jina lake hivyo kama ni kiki basi anamuachia jina lake mwanadada huyo.

wengi wamekuwa wakijua kuwa ni mimi na kwa hilo amekuwa akinivunjia heshima , na kwa sababu ya hilo naona ni bora kumuachia hilo jina la amber ahanagaike nalo yeye mwenyewe.

Pamoja na kwamba Amber rutty amekuwa akikiri kufaynya jambo hilo lakini pia alisema kuwa mpaa sasa hajui aliyefanya hivyo kutokana na kwamba simu iliyokuwa na video hiyo iliiibiwa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.