Amber Rutyy Akanusha Kuvujisha Video Zake Chafu.
Kumekuwa na wimbi la video na picha chafu katika mitandao ya kijamii zikionyesha waziwazi maumbile ya wanaohusika katika video hizo bila kujali kuwa ni nani anaweza kuona au zitakuwa katika mitandao kwa muda gani na kwa kiasi gani zinaweza kuharibu maisha yao.
Ilianza Wema , ikaja ya Gigy money akiwa uchi na sasa mwanadada Amber Ruty pia amekumbwa na skendo hiyo ya kuvujisha video za uchi kwa musa mchache wa siku mbili mfululizo.
Moja ya watangazaji wa ki-indi cha umbea kutoka clouds media aliguswa na tukio la Amber Ruttty hivyo aliamua kumtafauta na kumuuliza imekuwaje kuweka video mbaya katika mitandao ya kijamii akiwa na mwanaume wake wakiwa wanafanya mapenzi.
Kwa njia ya sms , wawili hao walikuwa wakijibizana kwa smsm, na mwanadada huyo alikataa na kusema kuwa hajui chochote kuhusu video hiyo na hata mwezi wake hajui chochote kwa sababu mwanaume huyo ni mpenzi wake wa siku nyingi.
Hata hivyo kwa kujitetea zaidi mwanadada huyo anasema kuwa anahisi kuwa vidoe hiyo ilivujishwa na watu waliookota smu ya mweiz wake ambayo ilipotea wiki iliyopita kwenye bodaboda.
Hili ni swala ambalo kila siku limekuwa likitakazwa lakini linazidi kuibuka kwa kasi na wanaofanya hivyo wengi ni wasanii mabao tunasema ndio kioo cha jamii .