Amber Rutyy na Mpenzi Wake Bado Wasota Rumande.

Msanii na video vixen Amber Rutyy na mpenzi wake bado wanaonekna akusota sana rumande kutokana na kukosekaa kwa watu ambao wanaweza kuwapa dhamana kutokana na kesi yao ya kusambaza video chafu na pia kosa la kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Wawili hao walikamatwa kwa kosa la kusambaza picha lakini pia kufanya mapenzi kunyume na maumbile ikichache zilizopita na hata kesi yao kuonekana ipo wazi kwa dhamana lakini hakuna aliyejitokeza kwa ajili ya kuwapa dhaman.

download latest music    

November 12 mwaka huu wawili hao walifikishwa tena mahakanami huku kukiwa na mategemeoa makubwa ya kupata  wadhamini lakini wadhamini hao walipotelea mitini na hawakuonekana.

Hivyo wawili hao wamerudishwa tena rumande mpaka pale watakapopata wadhamini huku kesi hiyo ikitarajiwa kusomwa tena november 24 mwaka huu.

Serikali inasema kuwa haitakaa kuvumilia watu wanaofanya uchafu kama Amber Rutty kwa sababu , kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni swala silislokubalika lakini pia ni kinyume na sheria na misingi ya taifa na dini zote pia.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.