Ay Amshauri Dudu Baya Kusajili Neno Konki ili Kujipatia Faida.

msanii wa muziki wa siku nyingi  Ambwen yesaya , Amefunguk na kutoa ushaur kwa msanii mwenzake Dudubaya kufanya mchakato wa kusajili neno KONKI ambalo kwa sasa hivi limekuwa habari ya mjini na kutumiwa na watu wengi.

Ay anasema kuwa kampuni nyingi wamekuwa wakidata maneno yanayotumiwa na watu mitaani kwa ajili ya kufanyia biashara bila kuwa na ruhusa ya mzalishaji wa nene hilo lakini kikubwa ni kuwa kuna kuwa hakuna hati miliki ya neno hilo na ndio maana inakuwa sio faida kwa wasanii baadhi.

download latest music    

Ay anasema kuwa Dudu baya afanye mchakato wa kusajili neneo hilo kabla halijadakwa na makampuni makubwa kibiashara.

Dudu baya akitaka kutisha bsi akasajili slogan yake maana si mnayajua makampuni makubwa  ya mawasiliano kwa kudandia misemo…PATA OFFER KONKI mfikishien ujumbe wangu -Aliandika AY

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.