Baada ya kuacha matumizi ya madawa za kulevya, Chidi Benz apanga kuachia muziki

Kunauwezekano wa kuziskiza nyimbo za Chidi Benz tena ikiwa ni kweli ambacho walichosema wao hizi wake wapya walisema katika interview yao.

Kulingana na Bongo 5 ambao walinena na uongozi wake mpya, ni kweli kuwa Chidi Benz ameungana na Q Chief kuachia wimbo mpya ambao uataachiwa hivi karibuni.

download latest music    

Nyimbo hii imeandaliwa katika studio za Kill Record chini ya producer Mbezi.

“Wiki ijayo Chidi Benz anarudi upya kwenye game, ngoma ni kali sana bila shaka mashabiki walikuwa wanamsubiria Chidi yule wazamani,” alisema meneja huyo aitwae Shabaha. Mimi binafsi nje ya umeneja Chidi ni msanii ambaye namkubali sana toka kitambo, nilivyosikiliza hii kazi yake mpya akiwa amemshirikisha Chidi Benz nimeona kabisa hapa kuna kitu kipya. Unajua ngoma nyingi za Chidi ambazo amekuwa akizitoa hivi karibuni sio level zake, lakini alivyonisikilizisha huu wimbo nimeona kuna kitu cha ziada kipo. Kwahiyo mashabiki wakae mkao wa kula kuna jiwe linakuja,”

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua