Baada ya kuambiwa mwili wake haufai kuvaa ‘bikini’ Wolper aachia picha ya kuwazingua mashabiki

Image: Wolper Stylish

Hakuna mtu mrembo kama mwanamke ambaye anajiamini. Hii ndio sababu malkia wa filamu za bongo Wolper stylish amekataa kuyaskiza maneno ya mashabiki ambao wanaopenda kumponda kuhusu mwili wake mnene.

Baada ya kutokea kwenye video ya mpenzi wake Harmonize kama amevalia nguo za kuogelea…mwanamke huyu alipondwa kwa maneno ya mashabiki ambao walidai kuwa kuna nguo ambazo mrembo hafai kuvalia kutokana na umbo la mwili wake.

download latest music    

Hata hivyo Wolper inaonekana kuwa hakuwasikiza na ndio maana ameachia picha mbayo imeewaacha wengi wakimsifu na kumtamani mitandaoni. Wolper anaonekana kama amevalia bikini ya kisasa ambayo amependeza sana.

Ikiwa haujaiona picha hiyo basi itazame hapa.

Wolper Stylish
Wolper Stylish

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua