Baada ya Kumpoteza Mama, Jay dee Afungua Kituo cha Matibabu ya Cancer

Mwanadada Lady Jay dee amefanikiwa kufungua kituo kwa ajili ya matibabu ya cancer ikiwa kama njia mpja wapo ya kuwasaidia watu wenye matatizo hayo kwa sababu amekuwa akijua shida na mapito wanayopitia wagonjwa na ndugu wa wagonjwa wa ugonjwa huo.

Ikumbukwe kuwa mwaka huu huu msanii mwanadada huyo aIipoteza mama mzazi kutokana na matatizo ya ugonjwa huu wa cancer na kumpa uchungu mkubwa wa kutaka kufanikisha kusaidia wenye matatizo ya ugonjwa huu.

download latest music    

Lady jay dee anasema kuwa wazo  hilo limekuja baada ya mwanadada huyo kuangaika sana na ugonjwa wa mama yake kwa muda mrefu huku akishuhudia maumivu aliyokuwa akiyapata mama yake mzazi mpaka anapatwa na umauti.

Lady Jay Dee alisema “yesterday i openned a ward under my name at  Texas cancer center in Nairobi Kenya, This made me cry.kuuguliwa na mama yako  na kumuuguza na kumuangalia mpaka anakufa sio swala la mchezo, sijui nitacha lini kulia, nikisikia neno cancer tu  ninalia hadi asi na pia nikikumbuka tena naanza kulia hata masaa matatu  mfululizo ,…ila Mungu ataponya maumivu …yasikie kwa jirani wala usiombe yakakukuta.”

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.