Baada ya Kumpoteza Mama, Jay dee Afungua Kituo cha Matibabu ya Cancer
Mwanadada Lady Jay dee amefanikiwa kufungua kituo kwa ajili ya matibabu ya cancer ikiwa kama njia mpja wapo ya kuwasaidia watu wenye matatizo hayo kwa sababu amekuwa akijua shida na mapito wanayopitia wagonjwa na ndugu wa wagonjwa wa ugonjwa huo.
Ikumbukwe kuwa mwaka huu huu msanii mwanadada huyo aIipoteza mama mzazi kutokana na matatizo ya ugonjwa huu wa cancer na kumpa uchungu mkubwa wa kutaka kufanikisha kusaidia wenye matatizo ya ugonjwa huu.
Lady jay dee anasema kuwa wazo hilo limekuja baada ya mwanadada huyo kuangaika sana na ugonjwa wa mama yake kwa muda mrefu huku akishuhudia maumivu aliyokuwa akiyapata mama yake mzazi mpaka anapatwa na umauti.
Lady Jay Dee alisema “yesterday i openned a ward under my name at Texas cancer center in Nairobi Kenya, This made me cry.kuuguliwa na mama yako na kumuuguza na kumuangalia mpaka anakufa sio swala la mchezo, sijui nitacha lini kulia, nikisikia neno cancer tu ninalia hadi asi na pia nikikumbuka tena naanza kulia hata masaa matatu mfululizo ,…ila Mungu ataponya maumivu …yasikie kwa jirani wala usiombe yakakukuta.”