Baada ya Kusemwa Kuhusu Daimond, Mange Amtetea Hamisa

Mwanadada Mange kimambi amefunguka na kumtetea hamisa  kutokana na mashambulio ambayo amekuwa akitapokea katika kurasa za instagram kuhusu Hamisa kuwa na mapenzi na Diamond kwa siri na kwamba Diamond amekuwa akimtumia hamisa tu kwa starehe lakini hana mapenzi nae yoyote ,

Mange anawashangaa watu wanaomwambia Hamisa kuwa kama Diamond angekuwa anapenda basi amekuwa akimuweka katika kurasa zak za mitandao ya kijamii lakini kwa sababu hampendi na ndioa maana hana anachomfanyia hadharani,huku kwa maoni ya mange anammwambai hamisa kuwa wengi waliokuwa wakiwekwa katika mitandao wameishia kuumizwa na mwanaume huyo.

download latest music    

Hata hivyo Mange anamshauri hamisa kuwa kama kuna kitu ambacho amekuwa akimpa Diamond basi azidishe kumpa ili amjengee hadi nyumba.

Mange anamwambia Hamisa kuwa kama waliweza kuwa katika mahusiano na Diamond mpaka wakafikai hatua ya kuzaaa mtoto basi aendelee kutokisikiliza maneno ya watu kwa sababu hata hao watu wanaompa manno bado na wao ya kwao yanawanshinda.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.