Baada ya Nay wa Mitego, Wasanii wengine wawili mashuhuri kukamatwa

Huzuni imejaa Tanzania nzima baada ya ripoti kutokea kwamba wasanii wengine wawili walikamtwa usiku tulioamkia.

Roma mkatoliki alikamatwa jana kwenye Tongwe Records na mpaka wakati huu hakuna anayejua akuwepo.

download latest music    

“Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONI @moni_centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na wameondoka navyo kusikojulikana..

Mpaka sasa hatujui wamewapeleka wapi!!” professor Jay alitangaza kwenye instagram.

Wasanii wengi ikuwepo Nay wa Mitego wamekashifu tendo hilo.

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi