Babu Tale Amjia Juu Mrisho Mpoto Kisa Diamond

Meneja wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Babu Tale amejikuta akimtolea Povu zito Msanii wa muziki Mrisho Mpoto Baada ya Msanii huyo kuhudhuria msiba wa Ruge Mutahaba.

Siku chache zilizopita Mrisho Mpoto alimtaka Diamond aweke tofauti zake pembeni na Marehemu Ruge na ahudhurie msiba Wake na Kupitia ukurasa wake wa Instagram, alimuandikia ujumbe mzito.

download latest music    

Siku ya jumamosi Ruge aliagwa na wasanii Mbali Mbali na viongozi wa serikali katika viwanja vya Karimjee Hall na Diamond na timu yake ya WCB walihudhuria hafla hiyo.

Baada ya Diamond kuhudhuria hafla hiyo Mrisho Mpoto alitumia ukurasa wake wa Instagram kumshukuru Diamond kwa kuenda kauli iliyomkera Babu Tale ambapo alimjia juu Diamond na kusema kuwa hakuenda kwenye msiba kwa sababu yeye alimwambia.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.