Babu Tale Aweka Wazi Hali Ya Kiafya Ya Hawa Kwa Sasa

Meneja wa staa wa Bongo fleva nchini Diamond Platnumz, Babu Tale ameweka wazi kuwa Mwanadada Hawa Saidi ambaye alikuwa anatibiwa nchini India anaendelea vizuri.

Hawa alikuwa na tatizo la ini ila ni moyo ndio uliokua unapelekea mgonjwa kujaa maji mwilini na Babu Tale ndio alipewa jukumu la kusimamia matibabu yake nchini India kwa kuwa gharama zote za matibabu alizitoa Diamond Platnumz.

download latest music    

Hawa alikuwa na tatizo la ini ila ni moyo ndio uliokua unapelekea mgonjwa kujaa maji mwilini na Babu Tale ndio alipewa jukumu la kusimamia matibabu yake nchini India kwa kuwa gharama zote za matibabu alizitoa Diamond Platnumz.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Babu Tale amesema wazi kabisa kwa sasa Hali ya Hawa inaridhisha kabisa tofauti na siku chache zilizopita kabla ya kupata matibabu:

Diamond aliweka wazi kuwa ametumia zaidi ya milioni 490 kumtibia Hawa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hoi kitandani nchini Tanzania.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.