Baby J Atangaza Mapinduzi Kwenye Bongo Fleva

Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika visiwa  wa Zanzibar Jamilah Abdullah maarufu kama Babu J ametangaza kufanya mapinduzi makubwa pindi atakaporudi kwenye Sanaa.

Baby J ambaye ameshawahi kutengeza nyimbo kali katika kipindi cha nyuma amekuwa kimya sana katika miaka ya karibuni.

download latest music    

Baby J amevunja ukimya Wake na kuweka wazi kuwa kwa sasa yupo mafichoni lakini Ana mpango wa kuibuka tena na anaamini endapo atarudi atafanya mapinduzi makubwa.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers,  Baby J alisema kuwa ni kweli yuko kimya lakini kuna vitu anavipanga akimaliza ataibuka na kuwa vizuri kabisa.

Najua watu wengi wanajiuliza nipo wapi lakini nashukuru sana Mungu nilipojificha ni kwa ajili ya mambo mazuri na si vinginevyo”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.