Barnaba Akanusha Tuhuma Zinazomkabili Ruge

Msanii Barnaba amefunguka na kukanusha taarifa na tuhuma zinazosambaa katika mitandao ya kijamii hasa zinazotaka kuchafua jina la marehemu Ruge mutahaba  kuhusu swala la kutaka kuwasaiai na kuwainua wasanii huku baadhi ya watu wakisema kuwa alikuwa akiwanyonya.

Barnaba ambae ni moja ya zao kutoka THT na pia ni msanii alielelewa na Ruge kama mtoto amefunguka na kusema kuwa hakukuwa na swala kama hilo walipokuwa katika chuo icho cha muziki kwa sababu kila mtu alikuwa na uhuru wa kufanya kazi yake ilimradi kuwa na nidhamu.

download latest music    

Wasanii wengi sana wametoka katika jumba hilo na wamekuwa na mafaniki katika muziki na kila mara wamekuwa wakikumbuka fadhila za mhasisi huyo na ndio maana baranaba anapata nguvu ya kusimama na kutetea hilo.

Msanii dudubaya ambae alianza kwa kumskashifu Ruge tangu akiwa mgonjwa alindelea hata mauti yalipomkuta kwa kumpa shutuma kali zidi yake.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.