Barnaba Amuonyesha Mrithi wa Mama Steve

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Barnaba classic ameamua kuonyesha kuwa kwa sasa ameamua ku-move on na maisha yake ya mapenzi na kuachana na mwanamke ambae kila siku amekuwa akisema kuwa amekuwa akimpenda sana katika maisha yake ambae ndio alikuwa Mama Steve.

Barnaba amefanya hayo katika ukurasa wake wa istagram , baada  ya kuamua kuweka picha yake akiwa na mpenzi wak huyo mpya na kumtakia kheri ya kuongeza mwaka mwingine huku akisema kuwa anatamani sana kumvsha pete katika siku yake hiyo ya kuzaliwa.

download latest music    

Ikumbukwe kuwa barnaba alikuwa katika mahusinao na mwanadada mmoja na kukaa nae kwa muda sana tangu msanii huo akiwa hana kitu mpaka sasa amekuwa na mafanikio lakini wamekuja kuachana na kufanya msanii huyo kuimba nyingi za mapenzi akilalamika sana kuhusu kuumizwa.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.