Barnaba Atoa Sababu ya Kuimba Gospel

Msanii anaefanya vizuri na nyimbo zake barnaba classic amefunguka sababu kubwa ya kuachia album yake yenye nyimbo sita (6) huku  nyimbo hizo zote akiwa  ameimba gospel akimshirikisha Damian soul.

Barnaba amekuwa akizoeleka kuimba nyimbo za kulalamika sana kuonewa katika mapenzi lakini safari hii amekuja kwa utaofauti baada ya kuachia album hiyo yenye muonekano wa tofauti kidogo kutokana na uwepo wa nyimbo hiyo ya injili.

download latest music    

Akiongea sababu kubwa ya kuamua kuimba ivyo, barnaba anasema  aliguswa sana na historia ya mpiga picha MXCartr baada ya kuwekwa jela kwa siku kadhaa.

Mtu alitetoa wazo hili kuu ni Mxcarter baada ya kupata matatizo na kuwekwa ndani kwa siku 8 pale Central kwaio wimbo huu ni kama shukrani kwa kuyapita hayo

Hata hivyo barnaba anasema kuwa uwepo wa album hiyo haimaanishi kuwa amecaha kuimba Bongo fleva maana kuna album inaitwa Washa inakuja.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.