Ben pol Amenifanya kuupenda muziki wa injili :-Anerlisa

Mwanadada anerlisa ambae ni mke mtarajiwa wa mwanamuziki Ben pol amefunguka na kusema kuwa tangu ameanza kuwa na mahusiano na mwanamuziki huyo amejikuta akipenda sana kusikiliza nyimbo za dini kitu ambacho hakuwa nacho hapo awali.

Ben pol  na mwana dada huyo wameanza mahusiani mwaka uliopita na wamekuwa na mafanikio sana katika mahusiano kiasi cha kufikia hatua ya kutambulisha kwa wazazi.

download latest music    

Mwanadada anerlisa mabe kwa sasa yuko nchi Tanzania, amefurahi sana kupajua na kugika tanzania kwa mara ya kwanza lakini kubwa ni kwa sababu amepajua pale anapotoka mwanaume wa maisha yake.

Hata hivyo mwanadada huyo amekuwa akijivunia ben pol kutokana na kipaji chake cha kuimba na kumfa nya kupenda nyimbo za injili.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.